Thursday, March 28, 2013

MISSING YOU

He
llow my counselors missing you too much.

Have  a nice holiday.

By ELINA your fellow student.

Sunday, March 17, 2013

TUNATOKA, TUPO NA TUNAENDA WAPI?


MAPACHA WASTAAFU KAZI YA UKAHABA BAADA YA MIAKA 50 WAKIWA WAMELALA NA WANAUME 355,000



Louise na Martine Fokkens wakiwa kazini.

MAPACHA wenye umri wa miaka 70 nchini Amsterdam, Uholanzi, wameamua kustaafu kazi yao ya ukahaba baada ya kuifanya kwa miaka 50. Mapacha hao Louise na Martine Fokkens wameamua kustaafu baada ya umri kuwatupa mkono na kudai kuwa kwa sasa hawapati wateja. 

Louise na Martine wamelala na jumla ya wanaume takribani 355,000, kila mmoja akiwa amejivinjari na wastani wa wanaume 177,500 kwa kipindi cha miaka 50, ambapo kwa mwaka mmoja kila mmoja alikuwa analala na wanaume 3,550 sawa na wanaume 295 kwa mwezi na kwa siku wanaume 9.
Mapacha hao ambao wanadaiwa kuwa makahaba wenye umri mkubwa zaidi  jijini  Amsterdam, walianza kazi hiyo wakiwa na umri wa miaka 20. Mapacha hao ni wazazi wa watoto saba, Louise akiwa na watoto wanne, na Martine yeye ana watoto watatu.

 Mapacha hao ambao walikuwa wakipenda kuvaa sare ya nguo nyekundu walitoa Filamu ya simulizi za kweli iitwayo 'Meet the Fokkens' na wanatarajia kutoa kitabu kitakachoelezea safari yao katika biashara ya ngono.
                                           BY KAGASHE

Tuesday, March 12, 2013

EXTENSION OF THE HOLIDAY

I WOULD LIKE TO INFORM ALL TEOFILO KISANJI UNIVERSITY STUDENTS  MORE ESPECIALLY THE COUNSELING COMMUNITY THAT THE HOLIDAY HAS BEEN EXTENDED FROM 17th MARCH 2013 TO 2nd APRIL 2013.
THE POSTPONEMENT NOTICE HAS BEEN POSTED BY Dr.MOSES AS IT WAS READ ON 12TH MARCH 2013. SO PLEASE KEEP ENJOYING YOUR HOLIDAYS

HAPPY EASTER AND MAY GOD BLESS YOU
BY KAGASHE